MUNGU HAZOELEKI
Ifike wakati kila mmoja ajue ya kwamba Mungu hazoeleki kwa maana Yeye sio mjomba wala kaka,bali Yeye ni Mungu asiyefananishwa na kitu chochote kwa sababu Mungu ametukuka sana,Yeye ni Bwana wa mbingu na nchi ( Matendo 17: 24) Hivyo ni Mungu wa kuheshimiwa sana. jifunze kwa Samweli kama case study ya somo hili. Nimemchagua nabii… Read More MUNGU HAZOELEKI