AIBU YA MWANAUME
“Je! Hayo maumbile yenyewe hayawafundishi ya kwamba mwanamume akiwa na nywele ndefu ni aibu kwake? Lakini mwanamke akiwa na nywele ndefu ni fahari kwake. Kwa sababu amepewa zile nywele ndefu ili ziwe badala ya mavazi. ” 1 Wakorintho 11:14-15 Kuna huo mstari,katika pitapita zangu leo katika biblia,bhana,nikakutana nao. Nilivyousoma leo ni tofauti na vile nilivyousoma… Read More AIBU YA MWANAUME