AMEFUFUKA KWELI KWELI
Yesu aliteswa akafa msalabani kwa ajili yako na siku ya tatu akafufuka katika wafu kama ilivyoandikwa ( Matendo 2:22-24,Mathayo 28:7). Hii ina maana kaburi halikumuweza,Yeye tu hai anaishi hata sasa. Katika sikukuu ya Pasaka unayosherekea ni lazima ujue ya kwamba Yesu amelishinda kaburi,Yeye yupo na anaishi hata sasa, ukimpokea ataingia kwako na mambo haya ninayokueleza… Read More AMEFUFUKA KWELI KWELI