MFUNGO WA SIKU 40.
Biblia inatupa mifano ya watu wachache waliofunga kwa siku arobaini. Mifano hii inatuonesha kwamba suala la kufunga siku 40 linawezekana hata sasa kwa sababu ni Mungu yule yule aliyewasadia watu hao wakaweza na ndiye huyo huyo atakayekusaidia hata kuweza. Ni vyema kutambua kuwa,chochote kilichoandikwa kwenye biblia kimeandikwa ili wewe upate kujifunza,kuongozwa,kuadabishwa pamoja na kuonywa,tena… Read More MFUNGO WA SIKU 40.