MANABII ~ 01.
Biblia tunayoisoma yenye vitabu 66 yenye muundo wa agano la kale na agano jipya, ni Biblia yenye vitabu vya manabii wa kubwa na manabii wadogo. Ukubwa na udogo wa manabii hutegemea urefu wa vitabu vyao, na si vinginevyo. Hivyo, jumla ya vitabu 16 vya kinabii hupatikana katika agano la kale ( soma hapo chini… Read More MANABII ~ 01.