NGUVU YA MUAMBATANO
“Akamwona Myahudi mmoja, jina lake Akila, mzalia wa Ponto; naye amekuja kutoka nchi ya Italia siku za karibu, pamoja na Prisila mkewe, kwa sababu Klaudio amewaamuru Wayahudi wote watoke Rumi, naye akafikilia kwao;” Matendo 18:2 Ndoa ya Akila na Prisila ni ndoa ya mfano mzuri wa kutufundisha “muambatano” wa mume na mke,kwa maana katika biblia… Read More NGUVU YA MUAMBATANO