SIRI YA KUFANIKIWA KATIKA BIASHARA YAKO.
Kila mfanya biashara hulenga faida maana tunapozungumzia biashara tunazungumzia faida sababu biashara bila faida imekufa kama ilivyo imani bila matendo imekufa. Hakuna awezaye kufanya biashara au kazi yoyote pasipo faida na ndio maana hata Daudi alipoiendea kazi ya kupambana na Goliath,kwanza akataka kujua atapata faida gani? Naye akawauliza wale watu pamoja na mfalme kwamba atapata… Read More SIRI YA KUFANIKIWA KATIKA BIASHARA YAKO.