MAMBO MATATU MUHIMU KANISANI.
Kanisa la kweli,msingi wake ni Kristo. Paulo mtume anasema hakuna awezaye kuweka msingi mwingine isipokuwa sote tunajenga katika msingi huu. Lakini kila ajengaye ni lazima awe makini na kazi yake. Msingi ukiwa ni Kristo,basi ni dhahiri Kristo atakuwa ni kiini cha injili na mafundisho yote ya kanisani pamoja na uimbaji wake . ( 1 Wakorintho… Read More MAMBO MATATU MUHIMU KANISANI.