AINA TATU YA WATU UNAOWAHITAJI KWENYE HATMA YAKO – 3
“na kwa kuwa kazi yao ya ufundi ilikuwa moja, akakaa kwao, wakafanya kazi pamoja, kwa maana walikuwa mafundi wa kushona hema.” Matendo 18:3 Anayekupa michongo ya kazi au huduma Paulo alipomwona Akila akagundua kazi zao zinafanana,hivyo wakakaa pamoja katika ufundi wa kushona mahema. Akila alimwihitaji Paulo,naye Paulo alimwihitaji Akila kwa sababu Akila alikuwa na connection… Read More AINA TATU YA WATU UNAOWAHITAJI KWENYE HATMA YAKO – 3