NGUVU YA SADAKA.~02
ii) Sadaka ya kawaida. Hii ni aina ya sadaka tunayoitoa mara kwa mara tuwapo kanisani. Badala ya wanyama leo tunatoa pesa au mali zetu kwa Bwana kama nafasi ya kumtumikia Bwani. Lakini kumbuka sadaka zinapaswa zitolewa kupitia msingi mmoja wa “pendo” kwamba yeyote anayemtolea Bwana hana budi atoe kwa moyo wa kupenda (2 Wakorintho 9:7a).… Read More NGUVU YA SADAKA.~02