ATHARI YA MADARAKA YA KUPEANA KINDUGU
“na jina lake mkewe Sauli aliitwa Ahinoamu, binti Ahimaasi. Tena, jina la jemadari wa jeshi lake aliitwa Abneri, mwana wa Neri, aliyekuwa baba mdogo wa Sauli.” 1 Samweli 14:50 Historia ya biblia inatumbia ya kwamba,tangu enzi hizo za wafalme,kulikuwa na baadhi ya watala waliotumia madaraka yao vibaya kwa kuwapendelea na kuwajali zaidi ndugu zao hata… Read More ATHARI YA MADARAKA YA KUPEANA KINDUGU