MWONGOZO WA UINJILISTI WA NYUMBA KWA NYUMBA.
01.Uinjilisti wa nyumba kwa nyumba,nini maana yake? Uinjilisti ni uinjilisti,lakini tunapozungumzia “..wa nyumba kwa nyumba” Tunamaana ya kumtangaza/kumhubiri Yesu nyumba moja hadi nyingine,mtaa kwa mtaa pasipo kuangalia imani ya wenyeji/wakazi wa nyumba wala pasipo kuangalia itikadi za chama,kabila,rangi n.k. Na kwa sababu ni kazi ya kujitoa hasa,wengi wamejikuta wakiisukumia mbali. Lakini ndio kazi kubwa ya… Read More MWONGOZO WA UINJILISTI WA NYUMBA KWA NYUMBA.