“ UMEOMBA NENO GUMU ”
“akasema, Umeomba neno gumu; lakini, ukiniona nitakapoondolewa kwako, utalipata; la hukuniona, hulipati.” 2 Wafalme 2:10 Suala sio umeomba vibaya,bali ulichokiomba ni kitu kigumu sana. Hayo yalikuwa ni maneno ya Eliya nabii wa Bwana. Wakati Bwana alipokusudia kumtwaa nabii wake Eliya,Bwana alifunua siri hiyo ya kutwaliwa kwa Eliya, kwa maana wana wa manabii walikuwa wakijua, Elisha… Read More “ UMEOMBA NENO GUMU ”