KUOLEWA
Tunao mifano michache katika biblia juu ya wanawake walioolewa. Mfano mzuri ni Rebeka binti wa Bethueli mwana wa Milka mkewe Nahori ( Mwanzo 24:10-67).Binti huyu ni mfano wa binti aliyetunzwa na kujitunza kweli kweli na hatimaye alipata neema ya kuolewa na Isaka mtumishi wa Mungu. Hivyo ukifuatilia wale wote walioolewa katika biblia utagundua kwamba “kuolewa… Read More KUOLEWA