MTAWALA MPYA ASIYEMJUA MWENYE HAKI!
Kitabu cha Mwanzo kinaishia na wana wa Israeli wakiwa Misri pasipo utumwa (kwa maana utumwa ulikuwa bado hujainuka). Ikumbukwe ya kwamba, Misri ilikuwa ni sehemu yenye ustaarabu pamoja na maendeleo makubwa ukilinganisha na maeneo mengine. Katika kipindi cha njaa ya miaka saba,Yakobo na wanawe walijikuta wakiwa ndani ya Misri na wakimwinamia Yusufu ambaye alikuwa… Read More MTAWALA MPYA ASIYEMJUA MWENYE HAKI!