HAZINA YA WATOTO.
 “ Na maneno haya ninayokuamuru leo, yatakuwa katika moyo wako; nawe uwafundishe watoto wako kwa bidii, na kuyanena uketipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.” Kumb. 6:6-7 Imekuwa ni utaratibu wa Kiyahudi tangu enzi hizo hata sasa, kuwafunga watoto wao utepe ulioandikwa sheria za Mungu kwenye mikono au kuvaa shingoni… Read More HAZINA YA WATOTO.