NAMNA YA KUITAWALA HASIRA
Hasira ni hisia kali ndani ya mtu zinazosababishwa hasa na kuumizwa ambapo hisia hizi kama hazijathibitiwa ndani,basi zinajitokeza nje na kumpelekea mtu kuchukua hatua fulani labda kulia kwa uchungu,kungata meno,au kufanya jambo fulani. Kawaida mfumo wa viungo vyetu hushirikiana kila kimoja. Hivyo hisia kali zinapotoka nje,basi kila kiungo kinashirikiana na kingine kuelezea nini kinachotoka nje.… Read More NAMNA YA KUITAWALA HASIRA