KUWA WEWE,KUWA HALISI !
“Ndipo Sauli akamvika Daudi mavazi yake ya vita, akamtia chapeo cha shaba kichwani, akamvika dirii.Naye Daudi akajifunga upanga juu ya mavazi yake, akajaribu kwenda; maana alikuwa hajavijaribu. Daudi akamwambia Sauli, Siwezi kwenda na vitu hivi, maana sikuvijaribu. Basi Daudi akavivua.” 1 Samweli 17:38-39 Sauli mfalme wa Israeli anamvika mavazi ya kivita kijana mdogo wa Kiebrania… Read More KUWA WEWE,KUWA HALISI !