NI VIGUMU KWAKO KUUPIGA MATEKE MCHOKOO ( Matendo 26:14)
Imeandikwa “Tukaanguka nchi sote, nikasikia sauti ikisema nami kwa lugha ya kiebrania, Sauli! Sauli! Mbona waniudhi? Ni vigumu kwako kuupiga mateke mchokoo” Mdo 26:14 Paulo mtume anaeleza jinsi Bwana alivyomtokea pale Paulo alipokuwa akiitwa Sauli mtu aliyekuwa akiwatesa na kuwaudhi wafuasi wa Yesu (Mdo 8:3) ( Maana hapo mwanzo wafuasi wa Yesu waliitwa watu… Read More NI VIGUMU KWAKO KUUPIGA MATEKE MCHOKOO ( Matendo 26:14)