TOFAUTI KATI YA NDOA KAMA AGANO NA NDOA KAMA MKATABA
“Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.” Mwanzo 2:18 Haikupendeza mtu mume awe peke yake,kwa maana kuna mambo asingeyaweza. Hivyo umuhimu wa mtu mke ulionekana tangu hapo mwanzo. Hii ni sawa na kusema kila mmoja anamwitaji mwenzake ili kukamilisha uhusiano mzuri wa kifamilia kwa sababu chanzo cha… Read More TOFAUTI KATI YA NDOA KAMA AGANO NA NDOA KAMA MKATABA